Siku si nyinzi zilizopita tumeanza kutoa mafundisho ya matumizi ya joomla, ni dhahiri kuna watu wengi wamepata na mori na kuanza kutumia joomla. Pia jana katika pitapita zangu tena katika tovuti moja ya idara muhimu ya serikali nikaona kuna matangazo ya ajabu mno ya video za kikubwa (hehe), hii ilifanyika bila webmaster kujua. Hivyo ili kuwasaidia mawebmaster wanaoanza, leo hii tuangalie mambo machache ambayo wewe kama webmaster wa joomla unatakiwa kuzingatia. Kumbuka haya ni mazingatio muhimu ambayo unatakiwa kuzingatia kabla ya kuweka tovuti yako online.

 

 

Ukurasa 4 ya 4